Skip to main content

Posts

Featured

Kamati ya PIC Yaitaka Serikali Kuisaidia TTCL Ijiendeshe Kibiashara

  Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC), Bi. Lolencia Bukwimba (Mbunge wa Busanda) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kukutana na kujadili taarifa za Kampuni ya Simu nchini (TTCL) leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC), Bi. Lolencia Bukwimba (hayupo pichani) katika mkutano na wanahabari leo jijini Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC), Bi. Lolencia Bukwimba (Mbunge wa Busanda) akipitia nakala ya taarifa ya Kampuni ya Simu nchini (TTCL) jujiridhisha na takwimu zilizotolewa na taasisi hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo jijini Dar es Salaam. Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) imeitaka Serikali kutekeleza kwa vitendo ahadi zake za kuiwezesha Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kujiendesha kibiashara...

Latest Posts

Serikali na TTCL Kumiliki Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano Pamoja

VIDEO CONFERENCE OR TELECONFERENCE SERVICE.

Waziri Profesa Mbarawa Aipongeza Kampuni ya TTCL

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU UFAFANUZI WA TAARIFA ZA MIFUMO YA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA TTCL KUVAMIWA NA WADUKUZI.

TTCL YAKOPA DOLA MILIONI 22 KUSAMBAZA MTANDAO 3G NA 4G LTE.

TTCL YATOA ZAWADI YA MWAKA MPYA KWA VITUO VYA YATIMA DAR ES SALAAM.

TTCL YAZINDUA TEKNOLOJIA YA 4G LTE

TTCL WAITUIMIA 9 DESEMBA KUSAFISHA SOKO LA TEMEKE STEREO.

TTCL Yawaumbua TEWUTA, Yadai ni Wapotoshaji Wenye Maslahi Binafsi

TTCL YAWASAIDIA WATOTO VIFAA VYA MASOMO KITUO CHA AWALI LUKEMA VINGUNGUTI