TTCL YASHIRIKI KATIKA BONANZA LILILOANDALIWA NA SHIMMUTA, YANG'ARA KATIKA MICHEZO MBALIMBALI.
![]() |
Kikosi cha timu ya mpira wa miguu cha TTCL kikiwa tayari kwa mechi kati yake na IFM ambapo walitoka sare bila ya kufungana. |
![]() |
Mshindi wa kwanza kwenye mashindano ya kukimbia ukiwa ndani ya gunia Bi. Alice Ngubwene akimalizia n'gwe wakati wa mashindano hayo. |
Comments
Post a Comment