UFUNGUZI WA MKUTANO WA CONNECT TO CONNECT SUMMIT UNAOFANYIKA HOTELI YA BAHARI BEACH LEDGER PLAZA, DAR ES SALAAM TAREHE 30/09/2014 HADI TAREHE 01/10/2014
![]() |
Prof. Patrick Makungu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano,
Sayansi na Teknolojia akizungumza na Dkt. Ally Simba, Mkurugenzi wa TEHAMA wa
Wizara hiyo na mwakilishi wa HUAWEI.
Dkt. Kazaura, Afisa Mktendaji Mkuu wa TTCL akizungumza na mshiriki
wa mkutano huo.
Dkt. Kamugisha Kazaura, Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya
Simu Tanzania (TTCL) akiwakaribisha wajumbe wa mkutano huo. Mkutano huo
umeandaliwa na TTCL kwa kushirikiana na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na
Teknolojia.
Prof. Patrick Makungu, Katibu Mkuu wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia akizungumza na Mhe. Rebecca Okaci, Waziri wa Mawasiliano na Huduma za Posta, Sudan ya Kusini.
Prof. John Nkoma, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano
Tanzania akiwasilisha mada kuhusu ukuaji na usimamizi wa Sekta ya TEHAMA nchini
Tanzania kwenye mkutano huo.
Mhe. Rebecca Okaci, Waziri wa Mawasiliano na Huduma za Posta
wa Sudan ya Kusini na Mhe. Win J. B. Mlambo, Naibu Waziri wa TEHAMA na Huduma
za Posta wa Zimbabwe wakifuatilia majadiliano ya mkutano huo.
Washiriki wakifuatilia mkutano huo.
Washiriki kutoka nchi mbalimbali wakifuatilia mkutano huo.
Comments
Post a Comment